HUDUMA ZA DIALYSIS
Posted on: February 10th, 2022
Hospiali ya Rufaa ya Mkoa wa IRINGA imeanzisha huduma ya kusafisha damu katika figo inayojulikana kama DIALYSIS,na tayari wagonjwa kutoka mkoa wa Iringa wameanza kupata huduma hiyo.
Hospiali ya Rufaa ya Mkoa wa IRINGA imeanzisha huduma ya kusafisha damu katika figo inayojulikana kama DIALYSIS,na tayari wagonjwa kutoka mkoa wa Iringa wameanza kupata huduma hiyo.